MREMBO ALIYEJIKITA KWENYE UFUGAJI ALIVYOPEWA MILIONI 12
0
0
18 Views
04/02/22
Asma Amour Ali ambaye alikuwa anashiriki katika mashindano ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wakulima na wafugaji kupitia Mradi wa Strong yanayosimamiwa na TAHA ameibuka mshindi na kukabidhiwa hundi ya shillingi Milioni kumi na mbili na laki tano katika mchakato wa kutafuta wakulima ambao wamesoma masomo hayo kwa kuweza kuyafanyia kazi na kuwa na mawazo yenye ubunifu wa kibiashara .
Show more
0 Comments
sort Sort By
